Janet Mumbi

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA KISAUNI KUDUMISHA USHIRIKIANO BAINA YAO

Wazazi katika kaunti ndogo ya Kisauni kaunti ya Mombasa wamehimizwa kudumisha ushirikiano baina yao kama mbinu mojawapo ya kuwalea wanao kwa maadili. Ni wito uliotolewa na wazee wa mitaa wa kike kwenye kikao kilichoandaliwa na shirika la kijamii la kecosce, ambapo wazazi kwa jumla wametakiwa kushirikiana kwani ukosefu wa ushirikiano umetajwa kusababisha baadhi ya watoto […]

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA KISAUNI KUDUMISHA USHIRIKIANO BAINA YAO Read More »

ASILIMIA CHINI YA MBILI YA WANAFUNZI HAWAJAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA

Mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Kwale Ahmed Mohamed Abdi amesema kuwa ni asilimia chini ya mbili pekee ya wanafunzi ambao hawajajiunga na kidato cha kwanza kaunti hiyo. Abdi amesema kuwa idadi kubwa ya wanafunzi kwa sasa wamejiunga na kidato cha kwanza huku akidokeza kuwa ni wanafunzi wachache pekee ambao pia kesi zao zinashughulikiwa kubaini

ASILIMIA CHINI YA MBILI YA WANAFUNZI HAWAJAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA Read More »

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE KUJADI MUSWADA WA KUKABILIANA NA DHULUMA ZA KIJINSIASEXUA

Bunge la kaunti ya Kwale limeanza kujadili muswada unaopania kukabiliana na visa vya dhuluma za kijinsia baada ya kuwasilishwa bungeni humo. Mwenyekiti wa kamati ya masuala ya kijinsia Rachel Katisya amesema muswada huo unalenga kuwalinda wanawake na watoto dhidi ya dhulma za kijinsia. Katisya amesema ndani ya mswada huo kuna mapendekezo ya kuitaka serikali kujenga

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE KUJADI MUSWADA WA KUKABILIANA NA DHULUMA ZA KIJINSIASEXUA Read More »