AMASON KINGI NDIYE SPIKA MPYA KATIKA BUNGE LA SENETI
Sasa ni rasmi kuwa Ammason Jeffa Kingi ndiye spika wa bunge la seneti. Ammason Jeffa Kingi amepata jumla ya kura 46 kutoka kwa maseneta walioshiriki upigaji kura. Licha ya wajumbe wanaoegemea upande wa azimio la umoja kutaka zoezi hilo liahirishwe mbali na swala kuwa mwaniaji wao wa wadhfa huo Kalonzo Musyoka kujiondoa kwenye kipute hicho. […]
AMASON KINGI NDIYE SPIKA MPYA KATIKA BUNGE LA SENETI Read More »



