MONICAH MARUBU ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA
Mwenyekiti wa shirika la Lamu Women Alliance Raya Famau amewahimiza viongozi wa kisiasa kutotumia maneno ambayo yatasababisha migawanyik katika jamii kaunti ya Lamu. Raya Famau amemkosoa mwakilishi wa kike kaunti ya Lamu Monica Marubu kufuatia semi zake majuma mawili yaliyopita wakati wa ziara ya Rais William Ruto kwenye kaunti ya Lamu kuwa ukosefu wa usalama […]
MONICAH MARUBU ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA Read More »



