BARNABA KORIR ASHAURI SERIKALI KUWEKEZA KATIKA VIWANJA
Mwenyekiti wa Riadha kaunti ya Nairobi Barnaba Korir ameshauri serikali mpya ya rais William Ruto kuwekeza sana kwenye michezo hasa ujenzi wa viwanja jambo ambalo litasaidia makuzi ya michezo katika taifa hili kwa jumla. Aliyasema hayo wakati ambapo taifa hili lilinyimwa nafasi ya kuandaa mashindano ya riadha ya mwaka 2025 kutokana na viwanja visvyo na […]
BARNABA KORIR ASHAURI SERIKALI KUWEKEZA KATIKA VIWANJA Read More »



