Janet Mumbi

MAINA NGUNYI ASEMA SERIKALI KUU INASHIRIKIANA NA YA TAITA TAVETA

Naibu kamishna eneo la Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Maina Ngunyi amesema serikali kuu inashirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha inakabiliana na janga la Ukame. Kulingana na Ngunyi vyanzo vingi vya maji vimekauka hali ambayo imekuwa ikisababisha wenyeji kutembea mwendo mrefu kusaka maji safi ya matumizi. Amesema hali hiyo ya kukauka kwa vyanzo vya maji kunawapa […]

MAINA NGUNYI ASEMA SERIKALI KUU INASHIRIKIANA NA YA TAITA TAVETA Read More »

DAN MWASHAKO ASEMA BAADHI YA MAWAZIRI WATEULE HAWANA TAJRIBA YA KUTOSHA

Mbunge wa Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Dan Mwashako amesema baadhi ya mawaziri wateule waliohojiwa na kamati ya uteuzi katika bunge la kitaifa baada ya kupendekezwa na rais William Samoei Ruto hawakuwa na tajriba ya kutosha kama inavyopaswa kulingana nafasi hizo za uwaziri. Mwashako amesema ni lazima anayeteuliwa kuwa waziri awe na ufahamu wa kina

DAN MWASHAKO ASEMA BAADHI YA MAWAZIRI WATEULE HAWANA TAJRIBA YA KUTOSHA Read More »

WANAFUNZI WANAOLIPIWA KARO NA SERIKALI YA LAMU WAHIMIZWA KUTIA BIDII MASOMONI

Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Abdalla Timamy amewataka wanafunzi ambao wako kwenye shule za upili na wanalipiwa karo na serikali ya kaunti hiyo kutia bidii masomoni ili kuendelea kulipiwa karo ya shule. Amesema ni lazima wanafunzi wajitahidi katika masomo yao iwapo wanataka kuendelea kupata ufadhili huo ili wanufaike na fedha hizo kutoka kwa serikali

WANAFUNZI WANAOLIPIWA KARO NA SERIKALI YA LAMU WAHIMIZWA KUTIA BIDII MASOMONI Read More »