WANANCHI WA WADI MBALIMBALI KAUNTI YA KILIFI WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KWENYE VIKAO VYA UMMA KUTOA MAONI
Mkurugenzi anayehusika na vikao vya umma vya kutoa maoni kuhusiana na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika jamii kaunti ya Kilifi Mlewa Katana ameandaa kongamano na wenyeji pamoja wasimamizi wa maeneo wadi kaunti ya Kilifi. Akizungumza na Lulu Fm baada ya kukamilisha mkutano huo ambao umefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Malindi kaunti ya Kilifi, […]



