Janet Mumbi

KCA YATOA WITO KWA WADAU MBALIMBALI KUSHIRIKIANA NA WAANDISHI WA HABARI

Mwenyekiti wa Muungano wa wanahabari nchini Kenya Correspondents Association(KCA), William Oloo Janak ametoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana na waandishi wa habari ili kupata taarifa kwa urahisi kwenye taasisi za Kiserikali ili kuwajuza kiukamilifu wananchi yanayojiri nchini. Akizungumza kwenye kongamano la waandishi wa habari mjini Kilifi kaunti ya Kilifi, Oloo amesema wanahabri mbalimbali kanda ya […]

KCA YATOA WITO KWA WADAU MBALIMBALI KUSHIRIKIANA NA WAANDISHI WA HABARI Read More »

WANAWAKE WAJAWAZITO KAUNTI YA KILIFI WAHIMIZWA KUJUA HALI ZAO ZA AFYA PAMOJA NA ZA WAUME ZAO

Afisa wa ushauri kwa wagonjwa ambao wameambukizwa virusi vya ukimwi kwenye hospitali ya Gede kaunti ya Kilifi, Mary Teresia amewahimiza wanawake kaunti ya Kilifi kujua hali zao za afya pamoja na za waume zao wanapohudhuria kliniki wanapokuwa wajawazito. Teresia amesema hatua hiyo itachangia kupunguza visa vya maambukizi hayo kutoka kwa mama hadi mtoto wakati wa

WANAWAKE WAJAWAZITO KAUNTI YA KILIFI WAHIMIZWA KUJUA HALI ZAO ZA AFYA PAMOJA NA ZA WAUME ZAO Read More »

HISIA MSETO ZINAENDELEA KUTOLEWA KUHUSU MAANDAMANO YA MUUNGANO WA AZIMIO

Kinara wa Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya Raila Odinga anapotarajiwa kuongoza maandamano siku ya Jumatano wiki hii ili kupinga kuondolewa ofisini kwa makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, hisia mbalimbali zinaendelea kutolewa kuhusiana na suala hilo. Akitoa hisia zake mkereketwa wa masuala ya kisiasa katika eneo bunge la Kaloleni

HISIA MSETO ZINAENDELEA KUTOLEWA KUHUSU MAANDAMANO YA MUUNGANO WA AZIMIO Read More »