BUNGE LA KAUNTI YA TANA RIVER LA TENGA MGAO WA KUKABILIANA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA.
Jumla ya shilingi milioni hamsini zimetengwa na serikali ya kaunti ya Tana River, ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akizungumza na wananchi katika eneo hilo, afisa wa mazimgira George Kasi ameelezea kuwa hatua hiyo imejiri baada ya bunge hilo, kuidhinisha sheria itakayo tumika katika kutekeleza suala hilo. Amesema kuwa uongozi wa […]
BUNGE LA KAUNTI YA TANA RIVER LA TENGA MGAO WA KUKABILIANA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA. Read More »



