Uncategorized

MBUNGE WA MALINDI KAUNTI YA KILIFI AMINA MNYAZI AORODHESHWA KATI YA WABUNGE 50 BORA NCHINI.

Wakaazi wa Malindi kaunti ya Kilifi wamepongeza utafiti wa kampuni ya Infortack ambao umemuorodhesha mbunge wa Malindi Amina Mnyazi kati ya 50 bora katika taifa hili. Mnyazi alipata asilimia 58 ya utendakazi bora katika taifa hili, utafiti ambao ulizingatia pakubwa utumizi wa fedha za hazina ya NG-CFD katika eneo bunge hili la Malindi. Kulingana na […]

MBUNGE WA MALINDI KAUNTI YA KILIFI AMINA MNYAZI AORODHESHWA KATI YA WABUNGE 50 BORA NCHINI. Read More »

GACHAGWA AIBUA MADAI YA KUHONGWA BILIONI MBILI ILI AJIUZULU.

Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, ameibua madai ya kushurutishwa ajiuzulu na hata kuahidiwa shilingi bilioni bilioni mbili. Kulingana na Gachangwa, hatau yake kubanduliwa kwenye wadhifa wa naibu wa rais katika taifa hili, hauku zingatia sheria na ulichangiwa pakubwa na misimamo yake anayodai ilikuwa mikali dhidi ya serikali kuu. Akizungumza katika kikao na waandishi wa

GACHAGWA AIBUA MADAI YA KUHONGWA BILIONI MBILI ILI AJIUZULU. Read More »

WAZIRI MUTURI AMTAKA RAIS WILLIAM RUTO KUTOA AMRI YA KUSITISHWA KWA VISA VYA UTEKAJI NYARA.

Waziri wa utumishi wa umma Justine Bedan Njoka Muturi, ameendeleza shutuma zake dhidi ya serikali anayotumikia, kwa madai ya kutozungumzia masuala ya utekaji nyara wa vijana katika taifa hili. Kulingana waziri Muturi, serikali ya Kenya Kwanza iliahidi wakenya kusitisha visa vya mauaji ya kiholela na utekaji nyara, wakati wa kampeni za kuwania uchaguzi mkuu wa

WAZIRI MUTURI AMTAKA RAIS WILLIAM RUTO KUTOA AMRI YA KUSITISHWA KWA VISA VYA UTEKAJI NYARA. Read More »