AMASON KINGI AMTAKA GAVANA GIDEON MUNG’ARO KUJITENGA NA MAANDAMANO
Spika wa Bunge la Seneti Amason Kingi amemtaka gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro kujitenga na masuala ya maandamano ambayo yamekuwa yakipangwa na muungano wa Azimio la Umoja One Kenya kufanyika kesho Jumatano. Kulingana na Kingi licha ya gavana Mung’aro kuchaguliwa kupitia chama Cha ODM, anapaswa kuwa karibu na viongozi wa muungano wa Kenya […]
AMASON KINGI AMTAKA GAVANA GIDEON MUNG’ARO KUJITENGA NA MAANDAMANO Read More »



