WITO WA UMOJA WATOLEWA KWA VIONGOZI NA WANANCHI KAUNTI YA KWALE.
Wanasiasa Kaunti ya Kwale wameomba jamii katika eneo hilo, kuweka Kando tofauti zao na kushirikiana na viongozi walio mamlakani. Wakiongozwa na mwakilikishi wadi wa Kasemeni Victor Safari Nyanja, amesema kwamba maeneo mengi ya Kaunti hiyo yamekosa maendeleo kutoka kwa serikali kuu, kutokana na hatua ya baadhi ya viongozi kupinga uongozi walioko mamlakani kitaifa. Akihutubia jamii […]
WITO WA UMOJA WATOLEWA KWA VIONGOZI NA WANANCHI KAUNTI YA KWALE. Read More »