Marefa watatu kutoka taifa la Kenya wameteuliwa kusimamia mechi za kombe la AFCON 2023 nchini Morocco ambayo yameairishwa hadi januari mwaka ujao 2024
Peter Kamau Waweru, Gilbert Cheruiyot na mwanadada Mary Njoroge ndio wameteuliwa na shirikisho la kandanda barani Afrika CAF kuwa miongopni mwa marefa ambao watasimamia mechi kadhaa za kombe hilo
Waweru ameteukiwa kutokana na tajriba kubwa ambayo amekuwa nayo kwa mda mrefi.
Ikumbukwe kwamba refa huyo aliendesha AFCON ya maka 2022 kule Cameroon kwenye mechi katiya Comoros na Gabon
Cheruiyot na Njoroge pia wanayo tajiriba kubwa ikifuatiwa kuwa wameendesha mechi mbali mbali barani Afrika zikiwemo mechi za mikoa katika maeneo mbalimbali nchini.

