BUNGE LA SENETI LAENDELEZA HOJA YA KUBANDULIWA KWA GAVANA WA KAUNTI YA MERU KAWIRA MWANGAZA.
Barua za mwaliko zinatarajiwa kutumwa kwa wote watakaowasilisha ushahidi dhidi ya kubanduliwa kwa gavana wa Meru kawira Mwangaza. Hii ni baada ya seneti kuafikiana kubuni kamati maalum ya kutathmini kubanduliwa mamlakani kwa gavana huyo ambapo barua hizo za mwaliko zitaanza kutumwa kwa wote watakaofika mbele ya kamati hiyo kuwasilisha ushahidi. Wahusika wote watakuwa na siku […]



