Uncategorized

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUKARABATI BARABARA ENEO LA GAMBA KAUNTI YA TANA RIVER.

Wizara ya uchukuzi nchini imetakiwa kukarabati barabara katika eneo la Gamba kaunti ya Tana River, msimu huu ambapo kuna shuhudiwa kiangazi eneo hilo. Kwa mujibu wa meneja wa bandari ya Lamu, mhandisi Vincent Sidai, ujenzi wa barabara hiyo unaweza kufanikishwa kwa urahisi, msimu huu wa kiangazi, kabla ya mvua kuanza kushuhudiwa. Sidai ameelezea wasiwasi wa […]

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUKARABATI BARABARA ENEO LA GAMBA KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »

JAMII ENEO LA RABAI KAUNTI YA KILIFI ZAKABILIWA NA BAA LA NJAA.

Idadi kubwa ya wananchi katika vijiji vya eneo bunge la Rabai hapa kaunti ya Kilifi, wameendelea kukabiliwa na changamoto kuu ya ukame. Kulingana na kamishna wa eneo bunge hilo Joseph Lenkari, wananchi hao hawajakuwa wakipokea mvua za kuwasaidia kupata mazao bora shambani kwa takriban miaka miwili sasa. Akizungumza katika eneo hilo, Lenkari amesema kuwa idadi

JAMII ENEO LA RABAI KAUNTI YA KILIFI ZAKABILIWA NA BAA LA NJAA. Read More »