HABARI

MAAFISA WAKUU 13 KWENYE SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI WASIMAMISHWA KAZI

Serikali ya kaunti ya Kilifi ikiendelea kufanyiwa uchuguzi na tume ya maadili na kukabiliana  na ufisadi nchini EACC kuhusu mbinu mpya ya ukusanyaji mapato ya kaunti, serikali ya kaunti ya Kilifi imewasimamisha kazi maafisa wakuu 13 katika kitengo cha ununuzi kwa muda wa siku 90, kutokana na kile kinachodaiwa kuchangiwa na utumizi mbaya wa ofisi. …

MAAFISA WAKUU 13 KWENYE SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI WASIMAMISHWA KAZI Read More »

WITO WATOLEWA KWA WAKULIMA KAUNTI YA TANA RIVER KUJIANDAA KWA AJILI YA UPANZI

Mkurugenzi wa idara ya utabiri ya hali anga kaunti ya Tana River, Kalu Nyale amewashauri wakulima wa Tana Delta kaunti ya Tana River kutayarisha mashamba yao mapema kwa ajili ya kilimo katika juhudi za kukabiliana na baa la njaa kwenye kaunti hiyo. Nyale amesema mvua nyingi za vuli zinatarajiwa kuanza mapema na kuwataka wakulima hao kuhakisha wanajiandaa …

WITO WATOLEWA KWA WAKULIMA KAUNTI YA TANA RIVER KUJIANDAA KWA AJILI YA UPANZI Read More »

MIMBA ZA UTOTONI VIMEPUNGUA KAUNTI YA KILIFI

Waziri wa jinsia na huduma za kijamii kaunti ya Kilifi Daktari Ruth Masha Dama amesema visa vya dhuluma za kijinsia na mimba za utotoni kaunti hii ya Kilifi vimeanza kupungua mingoni mwa watoto. Akithibitisha hilo, Dama amesema vimepungua kutoka asilimia 33 hadi asilimia 12 kufikia mwezi Desemba mwaka jana wa 2022. Amesema wanashirikiana na walimu …

MIMBA ZA UTOTONI VIMEPUNGUA KAUNTI YA KILIFI Read More »