HABARI

CHAMA CHA DCP KUUNGA MKONO WAGOMBEA WA VYAMA MBADALA KATIKA MUUNGANO WA UPINZANI.

Chama cha DCP kimeridhia kuunga mkono viongozi wa vyama tofauti katika mrengo upinzani, kwenye changuzi ndogo zinazo tayariwa kufanyika katika maeneo tofauti ya taifa, mwezi novemba mwaka huu wa 2025. Kinara wa chama hicho Rigathi Gachagua, amesema kuwa maeneo ambayo chama hicho kitaunga mkono vyama vingine, ni pamoja na Mbeere Kaskazini kaunti ya Embu, wadi […]

CHAMA CHA DCP KUUNGA MKONO WAGOMBEA WA VYAMA MBADALA KATIKA MUUNGANO WA UPINZANI. Read More »

MBUNGE WA MARAKWET MASHARIKI KAGONGO BOWEN AWATAKA WAPWANI KUKUMBATIA ELIMU.

Wazazi eneo la Pwani wamesisitizwa kuhakikisha kuwa wanao wanakumbatia masomo, hasa katika sekta ya ubaharia. Mwenyekiti wa kamati ya uchumi wa bahari kwenye bunge la kitaifa Kagongo Bowen, amesema kuwa ukosefu wa vyeti katika taasinia hiyo, kwa wananchi wa Pwani ndiyo chanzo cha baadhi ya vijana, kukosa nafasi hizo. Bowen amedai kuwa idadi kubwa ya

MBUNGE WA MARAKWET MASHARIKI KAGONGO BOWEN AWATAKA WAPWANI KUKUMBATIA ELIMU. Read More »

SERIKALI YASEMA INA CHAKULA CHA KUTOSHA KUSAIDIA WAKENYA WOTE.

“Hakuna mkenya atakaye lala njaa kutokana na ukosefu wa chakula”. Ni kauli ya waziri wa utumishi wa umma nchini Geoffrey Ruku, ambaye amesema kuwa serikali kuu, imeweka mikakati ya usambazaji wa chakula nchini. Waziri Ruku amesema mojawapo ya mikakati hiyo, ni kuhakikisha kuwa vyakula vimehifadhiwa vyema, kwenya maghala ya serikali ili kusaidia familia zilizo athirika.

SERIKALI YASEMA INA CHAKULA CHA KUTOSHA KUSAIDIA WAKENYA WOTE. Read More »