ALI MWACHAUNGA ASEMA AMEACHILIA WACHEZAJI MSIMU HUU
Kocha wa klabu ya Young Bulls inayoshiriki katika ligi ya Fkf daraja la kwanza Ali Marumu Mwachaunga anasema jambo ambalo limemfanya kuwa na mwanzo mbovu msimu huu ni kukosa matayarisho ya kutosha kabla msimu kuanza. Anasema amelazimika kuachilia wachezaji wengi ambao anadhani hawangemsaidia na badala yake amefanya usajili wa wachezaji wapya, vijana ambao anasema matumaini […]
ALI MWACHAUNGA ASEMA AMEACHILIA WACHEZAJI MSIMU HUU Read More »



