Kitaifa

BIRINGI SHARKS KUREJEA KWENYE LIGI KWA MASHARTI

Bishop Athony Muema ambaye ni mwenyekiti na mdhamini mkubwa wa klabu ya Biringi Sharks inayoshiriki katika ligi ya kaunti ya Kilifi anasema licha ya tukio la dhulma ya baadhi ya wachezaji kufuja pesa za zawadi za mashindano ya Governors Cup msimu uliopita katika kaunti hiyo msimu huu analenga kusajili wachezaji wengine wapya baadala ya kuachana […]

BIRINGI SHARKS KUREJEA KWENYE LIGI KWA MASHARTI Read More »

KUSHIBA NDIO CHANZO CHA MATOKEO BORA TEITA ESTATE

Klabu ya Teita Estate kutoka Mwatate kaunti ya Taita Taveta inazidi kuandikisha matokeo bora msimu huu katika ligi ya daraja la pili kutokana na motisha wachezaji wanaopewa na wadhamini wao. Kulingana na kocha mkuu wa klabu hiyo Mohamed Hassan ukipenda kocha mzoefu anasema wachezaji wake wote wameajiriwa na kampuni ya makonge jambo ambalo linawafanya kutuliza

KUSHIBA NDIO CHANZO CHA MATOKEO BORA TEITA ESTATE Read More »