Kitaifa

WAZIRI JUSTINE MUTURI AKOSOA HATUA YA SERIKALI KUU KUDAI HAINA UFAHAMU KUHUSIANA NA WALIOKO VIJANA WALIOTEKWANYARA.

Waziri wa utumishi wa umma nchini Justin Bedan Njoka Muturi, ameisuta serikali ya kitaifa kutokana na ongezeko la idadi ya visa vya vijana wa taifa hili kutekwa nyara na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa polisi. Kulingana na waziri Njoka, idadi kubwa ya familia zimeendelea kukabiliwa na hali ya msongo wa mawazo, kutokana na kutoweka wa wanao katika […]

WAZIRI JUSTINE MUTURI AKOSOA HATUA YA SERIKALI KUU KUDAI HAINA UFAHAMU KUHUSIANA NA WALIOKO VIJANA WALIOTEKWANYARA. Read More »

KIMANZI ANA IMANI NA KIKOSI CHA STARS

Kocha wa muda wa timu ya taifa Fransis Kimanzi anasema yuko na imani kikosi chake kesho kitaandikisha matokeo mazuri dhidi ya Kilimanjaro Boys katika mashindano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea Zanzibar. Kulingana na Kimanzi ni kuwa ni licha yamajeruhi machache yaliyopo kikosini bado vijana wameonyesha motisha wa kuzalisha alama tatu hiyo kesho. ”Licha ya majeraha madogomadogo

KIMANZI ANA IMANI NA KIKOSI CHA STARS Read More »