RAIS WILLIAM RUTO AONGOZA HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAWAZIRI WAPYA.
Rais William Ruto amewataka mawaziri wapya walio apashwa mda mfupi uliopita katika ikulu ya rais kujitenga na visa vya ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma katika utendakazi wao. Kwa mujibu wa rais Ruto, mawaziri hao wanapaswa kuwa kielelezo kwa viongozi wengine kwenye baraza la mawaziri nchini, kwani wamekuwa wakihuidumu katika serikali za awali. Kiongozi […]
RAIS WILLIAM RUTO AONGOZA HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAWAZIRI WAPYA. Read More »



