Kitaifa

ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA AENDELEZA MIKAKATI YA KUANZISHA CHAKE CHA KISIASA.

Aliyekuwa naibu wa Rais Rigathi Gachagwa amesema kuwa anaendeleza mipango ya kubuni chama chake cha kisiasa kitakacho jumuisha viongozi mbali mbali wa taifa hili. Gachagwa ambaye alikuwa akizungumza katika kaunti ya Laikipya, amesema kuwa bado anayeendelea kupokea maoni kutoka kwa wakenya, kuhusiana na kubuniwa kwa chama hicho. Kulingana na Gachagwa chama hicho kitatumika kutetea maslahi […]

ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA AENDELEZA MIKAKATI YA KUANZISHA CHAKE CHA KISIASA. Read More »

EACC YAWATIA NGUVUNI MAAFISA WANANE WA SERIKALI YA KAUNTI YA TANA RIVER KWA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI.

Maafisa wanane wa serikali ya kaunti ya Tana River wametiwa nguvuni na maafisa wa tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC kwa madai ya kushiriki kwenye ufisadi wa shilingi milioni 9. Akithibitisha hilo afisa wa mawasiliano katika tume hiyo Eric Ngumbi, amesema kuwa wanane hao ni kali ya washukiwa 14 ambao wanadaiwa kutoa

EACC YAWATIA NGUVUNI MAAFISA WANANE WA SERIKALI YA KAUNTI YA TANA RIVER KWA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI. Read More »