Kitaifa

MAAFISA WA AFYA NYANJANI KAUNTI YA KILIFI WALALAMIKIA KUCHELEWESHWA KWA MALIPO YAO.

Takriban wahudumu 4,000 wa afya ya nyanjani (CHP) kaunti ya Kilifi wanalalamikia serikali ya kaunti kucheleweshwa malipo yao, kwa takriban miezi 6 sasa. Mwenyekiti wa wahudumu hao John Charo, anasema kuwa serikali ya kaunti iliwalipa kwa kipindi cha miezi 3 pekee, licha ya kutoa ahadi ya kuwalipa maafisa hao wa nyanjani, ili kufanikisha mpango wa […]

MAAFISA WA AFYA NYANJANI KAUNTI YA KILIFI WALALAMIKIA KUCHELEWESHWA KWA MALIPO YAO. Read More »

WABUNGE WATAKIWA KUSAIDIA WANANCHI WAO KUPATA VYETI VYA USAFIRI WA MATAIFA YA NJE.

Viongozi wa bunge la kitaifa nchini wametakiwa kuwasaidia vijana kutafuta stakabadhi hitajika, ili kunufaika na ajira za mataifa mengine, kupitia wizara ya leba nchini. Ni wito ambao umetolewa na katibu katika wizara hiyo Shedrack Mwadime, ambaye amewapongeza wabunge, kwa kufadhili ujenzi wa miundo msingi na hata karo za wanafunzi wa vyuo vikuu na shule za

WABUNGE WATAKIWA KUSAIDIA WANANCHI WAO KUPATA VYETI VYA USAFIRI WA MATAIFA YA NJE. Read More »

WANANCHI WA KAUNTI YA KISII WAMEZOMEA RAILA ODINGA.

Aliyekuwa waziri mkuu katika taifa hili Raila Odinga, alipata pigo kali baada ya wale walioaminika kuwa wafuasi sugu wa kiongozi huyo, kumzomea alipofika kutizama mpira wa kandanda katika uwanja wa Gusii kaunti ya Kisii. Wananchi wengi walionekana kutoka inje ya uwanja huo, wakati kiongozi huyo alipotaka kuhutubia umma, jambo ambalo pia lilionekana kumtamausha gavana wa

WANANCHI WA KAUNTI YA KISII WAMEZOMEA RAILA ODINGA. Read More »