RAILA ODINGA ASEMA ALISHIKIZWA KUUNGANA NA RAIS WILLIAM RUTO.
Aliyekuwa waziri mkuu katika taifa hili Raila Odinga, amesema kuwa sio yeye aliyeshinikiza kuungana na serikali, ila Rais William Ruto, ndiye aliyependekeza waungane. Odinga ambaye alikabiliwa na pingamizi kali, katika kaunti ya Kisii mnamo siku ya jumamosi, alipokuwa akitaka kuhutubia umma, ametetea uhusiano wake na Rais Ruto, akisema kuwa bado msimamo wake ni ule wa […]
RAILA ODINGA ASEMA ALISHIKIZWA KUUNGANA NA RAIS WILLIAM RUTO. Read More »



