Kitaifa

DOUGLAS KANJA AKASHUFU UFUNGUZI WA KITUO CHA POLISI KAUNTI YA UASIN GISHU.

Inspekta jenerali wa polisi Douglas Kanja, amekashifu vikali hatua ya mkenya anayefahamika kama Collins Chepkulei, kufungua kituo cha polisi katika eneo la Cherus kaunti ya Uasin Gishu. Kulingana na Kanja, hatua hiyo ni makosa makubwa kwani raia huyo, alikosa kufuata sheria na utaratibu hitajika, ili kutekeleza suala hilo licha yake kuwa na manufaa kwa wananchi. […]

DOUGLAS KANJA AKASHUFU UFUNGUZI WA KITUO CHA POLISI KAUNTI YA UASIN GISHU. Read More »

AISHA JUMWA AITAKA SERIKALI YA RAILA NA RUTO KUWAHUSISHA WANAWAKE KATIKA MIKAKATI YAO.

Mwenyekiti wa bodi ya barabara nchini Aisha Jumwa, amemtaka Rais William Ruto kuwateua wanawake kwenye nafasi mbali mbali za uongozi, baada yake kuungana na aliyekuwa mpinzani wake Raila Odinga. Kulingana Aisha, kama kiongozi katika chama cha UDA, anaunga mkono kiukamilifu hatua yao kuja pamoja, ila kuna haja yao kuhakikisha kuwa wanahusisha viongozi wakike katika maamuzi

AISHA JUMWA AITAKA SERIKALI YA RAILA NA RUTO KUWAHUSISHA WANAWAKE KATIKA MIKAKATI YAO. Read More »

DIMBA PATRIOTES YAJITOA KWENYE LIGI YA FKF

Klabu Ya Dimba Patriots imetangaza rasmi Kujiondoa kwenye Shughuli zozote zinazohusiana na Soka, wakidokeza Changamoto wanazopitia Mikononi mwa Shirikisho la Soka Hapa Nchini, wachezaji wa Timu hio wakiwa huru Kujiunga na Klabu Yoyote ile. Taarifa Hii Inakuja mwezi mmoja tu baada ya Upande huo wenye Makazi Yake Mjini Nairobi, kubanduliwa Nje ya Michuano ya Ligi

DIMBA PATRIOTES YAJITOA KWENYE LIGI YA FKF Read More »