Kitaifa

RAIS WILLIAM RUTO AANZA SAFARI YA KUMCHIMBA WAZIRI WAKE JUSTINE MUTURI.

Rais William Ruto amemkashifu hadharani waziri wa utumishi wa umma nchini Justine Muturi, kwa kuwa mlegevu katika utendakazi wake, wakati alipokuwa akihudumu katika wadhifa wa mwanasheria mkuu kwenye serikali yake. Kulingana na Ruto, Muturi alikosa kutekeleza wajibu wake katika kufanikisha ombi la kubuniwa kwa wakfu wa jamii ya waumini wa dini ya kiislamu nchini. Akizungumza […]

RAIS WILLIAM RUTO AANZA SAFARI YA KUMCHIMBA WAZIRI WAKE JUSTINE MUTURI. Read More »

MASHAMBULIZI YA MAGAIDI WA ALSHABAAB YAONGEZEKA KATIKA KAUNTI ZA KASKAZINI MASHIRIKI MWA TAIFA HILI.

Wanamgambo wa Alshabaa wamemuuwa afisa mkuu wa polisi wa akiba katika kaunti ya Mandera, siku moja baada ya magaidi hao kushambulia kambi ya polisi  hao kaunti ya Garissa. Afisa huyo ambaye pia ni mkuu wa usalama katika afisi ya gavana wa kaunti hiyo ya Mandera, Mohammed Adan Khalif, alikumbana na mauti yake baada ya magaidi

MASHAMBULIZI YA MAGAIDI WA ALSHABAAB YAONGEZEKA KATIKA KAUNTI ZA KASKAZINI MASHIRIKI MWA TAIFA HILI. Read More »

MLINZI WA MSEMAJI WA IKULU HUSSEIN MOHAMMED ADAIWA KUTEKELEZA MAUAJI.

Maafisa wa DCI wanaendeleza uchunguzi wa kifo cha mtu mmoja aliyepigwa risasi na afisa wa polisi ambaye pia ni mlinzi wa msemaji mkuu wa Ikulu ya Nairobi, Hussein Mohammed. Kulingana na baadhi ya wananchi walioshuhudia kisa hicho, wamesema kuwa tukio hilo lilichangiwa pakubwa na mzozo kati ya afisa huyo wa polisi kwa jina Mohamed Yusuf

MLINZI WA MSEMAJI WA IKULU HUSSEIN MOHAMMED ADAIWA KUTEKELEZA MAUAJI. Read More »