VIJANA WA KIZAZI CHA GEN Z KENYA WATISHIA KUJENGA HOSPITALI YAO.
Baadhi ya vijana wa kizazi cha Gen Z kupitia mtandao wa Tiktok, wametishia kuchangisha pesa mtandaoni na kujenga hospitali ya kisasa, itakayo toa huduma muhimu za matibabu na za bure kwa wakenya wanao hangaika. Kulingana na vijana hao, hatua hiyo itawawezesha kusaidia wakenya wanaokabiliwa na changamoto za kupata huduma za matibabu kitaifa. Hesabu za vijana […]
VIJANA WA KIZAZI CHA GEN Z KENYA WATISHIA KUJENGA HOSPITALI YAO. Read More »



