Janet Mumbi

HUSSEIN MIJJI AWATAKA WENYEJI WA LAMU KUSHIRIKIANA

Mkurugenzi wa shirika la maendeleo la kijamii la LAMU ACTION DEVELOPMENT INITIATIVE Hussein Mijji ametaja suala la ufisaji kuwa kizingiti kikuu katika kukabiliana na ulanguzi wa dawa za kulevya kaunti ya Lamu. Kwa mujibu wa Mijji baadhi ya maafisa wa serikali hushirikiana na walanguzi wa dawa za kulevya na kujihusisha na vita dhidi ya mihadarati. …

HUSSEIN MIJJI AWATAKA WENYEJI WA LAMU KUSHIRIKIANA Read More »

viongozi kanda ya pwani watakiwa kushirikiana

Seneta Mteule Miraj Abdillahi amewataka viongozi wa pwani kushirikiana ili kufanikisha miradi ya maendeleo kwa wananchi badala ya kuendeleza siasa za chuki na migawanyiko miongoni mwa wenyeji. Akizungumza katika kaunti ya Mombasa amesema hatua hiyo inadidimiza na kusambaratisha mshikamano wa wenyeji wa kaunti ya Mombasa. Miraj amesema ni jambo la kusikitisha kuona viongozi hao wanaendeleza …

viongozi kanda ya pwani watakiwa kushirikiana Read More »

SALIM MVURYA ATOA MAKATAA YA HADI MWEZI DISEMBA

Waziri wa madini na raslimali za baharini na maziwa nchini Salim Mvurya ametoa makataa ya hadi mwezi Disemba mwaka huu wa 2023, kwa mkandarasi ambaye alikabidhiwa ujenzi wa kiwanda cha samaki cha Liwatoni kaunti ya Mombasa kukamilisha kwa awamu ya Kwanza.Akizumgumza katika kaunti hiyo alipozuru kiwanda hicho amesema mradi huo ambao unagharimu kima cha shilingi …

SALIM MVURYA ATOA MAKATAA YA HADI MWEZI DISEMBA Read More »