CHANJO YA COVID-19 KUZINDULIWA LEO NCHINI
Huku wizara ya afya nchini ikitarajiwa leo kuzindua utoaji wa chanjo dhidi ya virusi vya corona, waziri wa afya nchini Mutahi Kagwe ametakiwa kueleza wananchi mipangilio kamili kuhusu chanjo hiyo baada ya kubainika kwamba jumla ya shiling bilion 1.65 zitatumika kununua na kuendeleza utoaji wa chanjo hiyo kwa watu million moja. Mwanaharakati wa maendeleo kutoka …