WANAKANDARASI WA UJENZI WA JUMBA LA MAMLAKA YA UBAHARIA WATAKIWA KUFIKA MBELE YA KAMATI YA BUNGE LA KITAIFA LINALO HUSIKA NA UWEKEZAJI
Kamati ya bunge la kitaifa inayohusika na masuala ya uwekezaji PIC ikiongozwa na mwenyekiti wake aliyepia mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharif Nassir imemtaka mwanakandarasi aliyepewa kandarasi ya ujenzi wa jumba la Mamlaka ya Ubaharia nchini KMA kufika mbele ya kamati hio kuelezea jinsi fedha za kandarasi ya ujenzi huo zilivyotumika. Hii ni kutokana na kuwa …