SOLSKJAER AHOFIA FOMU YA MASHETANI WEKUNDU
Mkufunzi wa klabu ya Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer amekiri kwamba anapata hofu kuhusu kushuka kwa kiwango cha timu yake na kushindwa kufunga mabao baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Crystal Palace juzi Jumatano ugenini, ambayo imewafanya wawe nyuma ya vinara, Man City kwa tofauti ya pointi 14. Manchester United sasa imecheza mechi tatu …