IMEBAINIKA KWAMBA IDADI KUBWA YA VIJANA WANAOTUMIA MIHADARATI IMEONGEZEKA KANDA PWANI
Idadi kubwa ya vijana kanda ya pwani wanaotumia dawa za kulevya imetajwa kuongezeka. Akizungumza na meza yetu ya habari chifu mkuu wa kata ndogo ya Voi ya kaunti ya Taita Taveta, Abel Mwangemi amehoji kuwa swala la jamii kutoshirikiana na serikali katika vita hivi dhidi ya ulanguzi wa mihadarati ni moja wapo ya mambo ambayo …
IMEBAINIKA KWAMBA IDADI KUBWA YA VIJANA WANAOTUMIA MIHADARATI IMEONGEZEKA KANDA PWANI Read More »