SERIKALI ZA UGATUZI ZADAIWA KUATHIRIKA TANGU KURIPOTIWA KWA UGONJWA WA COVID-19 NCHINI
Ugatuzi umetajwa kuwa miongoni mwa sekta zilizoathirika humu nchini kutokana na masharti ya awali yaliyowekwa baada ya kuripotiwa kwa ugonjwa wa covid 19 nchini. Mmoja wa wanakamati wa kamati ya uhusiano kati ya serikali ya kitaifa na serikali za kaunti Linet Mavu amesema kuwa janga la corona liliathiri mno utoaji wa huduma kwa sekta mbali …
SERIKALI ZA UGATUZI ZADAIWA KUATHIRIKA TANGU KURIPOTIWA KWA UGONJWA WA COVID-19 NCHINI Read More »