Zoezi la usajili wa vyeti vya kuzalia lafika tamati
Zoezi la usajili wa vyeti vya kuzaliwa linapotamatika leo baada ya kuzinduliwa rasmi mapema mwezi huu wa Julai kumeshuhudiwa foleni ndefu katika idara ya uhamiaji mjini Malindi kaunti ya Kilifi. Katika usajili huo wananchi wameonekana kutoridhishwa na huduma hiyo ambayo kulingana na wao imekuwa ikitekelezwa kwa mwendo wa polepole huku wakiomba serikali kuongeza muda zaidi …
Zoezi la usajili wa vyeti vya kuzalia lafika tamati Read More »