Mbwembwe za AFCON | Mbinu 3 zilizoilaza Tanzania mikononi mwa Kenya
Watanzania hawaamini kilichotokea katika mechi yao dhidi ya jirani zao Kenya. Ulikuwa mchezo wa kufurahisha na kusisimua; Taifa Stars ya Tanzania kuongoza katika kipindi cha kwanza na baada ya dakika tisini, wakaachwa hoi bila pointi tatu walizopigania. Ilikuaje Kenya ikaipiku Tanzania? 1. Mikakati Wakufunzi wa Kenya kwa muda wamekuwa wakilaumiwa kwa kutokuwa na mikakati ya kutosha …
Mbwembwe za AFCON | Mbinu 3 zilizoilaza Tanzania mikononi mwa Kenya Read More »